
Katibu Mkuu mpya wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Selestine Mwesigwa.
Kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 43 akiwa pia ni
mtaalamu wa mambo ya sheria na uhusiano wa kimataifa, alisema jambo
jingine atakalolifanyia kazi ni kuhakikisha weledi katika utendaji kazi
unazingatiwa huku kila mfanyakazi akiwajibika katika nafasi yake.
Alisema atashirikiana vyema na watendaji wengine
kuhakikisha utekelezaji wa mipango ya muda mfupi na muda mrefu
inatekelezwa kwa wakati katika muda wote wa kazi yake.
Mtendaji mwingine mpya wa TFF aliyetangazwa na
Malinzi ni Evodius Mtawala ambaye anakuwa Mkurugenzi wa Vyama, Wanachama
na Masuala ya Kisheria.
No comments:
Post a Comment