Thursday, 26 December 2013

LUNYAMILA AANZA KUZUNGUMZA


Lunyamila akiwa amelala kitandani hospitalini .PICHA|MAKTABA 

HALI ya winga wa zamani wa Yanga na Taifa Stars, Edibily Lunyamila, inaendelea kuimarika baada ya kuanza kuzungumza kwa kifupi na watu wanaomtembelea kumjulia hali katika Hospitali ya Mwanyamala, Dar es Salaam, ambapo amelazwa.

MKWASA: NAKUJA YANGA, TWITE ANENA

 



Kocha Mkuu wa Ruvu Shooting,Charles Boniface Mkwasa.PICHA|MAKTABA 


KOCHA Mkuu wa Ruvu Shooting, Charles Boniface Mkwasa, ameweka wazi kwamba yupo katika mazungumzo na viongozi wa Yanga na yakikamilika atatua Jangwani kuchukua nafasi ya Kocha Msaidizi, lakini kiraka Mbuyu Twite ametoa masharti ya mkataba mpya.

KATINU MPYA TFF AINGIA NA MIKWARA



Katibu Mkuu mpya wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Selestine Mwesigwa.Shar





 KATIBU Mkuu mpya wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Selestine Mwesigwa, ameliambia Mwanaspoti

LOGARUSIC: MKINIPA YANGA NAFUKUZA MABEKI WOTE



Kocha Mkuu wa Simba,Zdravko Logarusic.PICHA|MAKTABA 

KOCHA Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, amempa pole mwenzake wa Yanga, Ernest Brandts, kwa kupewa notisi na uongozi wa timu hiyo, lakini akasema angekuwa anaifundisha Yanga angewatimua mabeki wanne wa kikosi hicho wakiwamo nahodha Nadir Haroub ‘Cannavaro’ na Kelvin Yondani.

Monday, 23 December 2013

HAMNIWEZI MTASUBIRI SANA!

Amissi Tambwe.

STRAIKA wa Simba, Mrundi Amissi Tambwe, ametamka kwamba Yanga watasubiri sana kipindi hiki, kwani Wekundu wa Msimbazi sasa ni habari nyingine kabisa. Kocha wake, Zdravko Logarusic, naye amekejeli akisema Yanga hawamuwezi na ataendelea kucheza na akili zao ili kuwapa vipigo.
Simba iliifunga Yanga mabao 3-1 juzi Jumamosi kwenye mechi ya Nani Mtani Jembe iliyochezwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.