
Lunyamila akiwa amelala kitandani hospitalini .PICHA|MAKTABA
HALI ya winga wa zamani wa Yanga na Taifa Stars,
Edibily Lunyamila, inaendelea kuimarika baada ya kuanza kuzungumza kwa
kifupi na watu wanaomtembelea kumjulia hali katika Hospitali ya
Mwanyamala, Dar es Salaam, ambapo amelazwa.